Jumapili, 12 Januari 2014

WAKRISTO WA TANZANIA HATARINI, RIPOTI


Tanzania imeshika nafasi ya 49 kati ya nchi 50 ambazo Shirika la Open Doors la Marekani katika ripoti yake ya mwaka "2014 Watch List" imesema ndio nchi hatari zaidi duniani kwa wakristo kuishi. Katika ripoti hiyo Open doors wameiweka Tanzania katika kundi ambalo wakristo huishi kwa wasiwasi huku pia likitoa idadi ya nchi 10 ambazo ni hatari zaidi duniani kuwa Mkristo. Open doors hujishughulisha na kusaidia wakristo waliopo vifungoni wakiwa katika hatari ya kuuwawa kutokana na kutetea ama kuhubiri injili ya Yesu Kristo.
Katika orodha iliyotoa, shirika hilo limeonyesha nchi ambazo wakristo wanaishi kwa kujificha, manyanyaso, kutekwa lakini pia wakiwa katika hatari ya kuuwawa na serikali za nchi hizo ama vikundi hatari vya dini vya watu wenye msimamo mkali wa dini.


Hii ni listi ya nchi hatari zaidi duniani kwa wakristo kuishi, ambao hadi Tanzania kushika '50 bora', basi hakika hilo ni jambo la kuombea kwa nguvu zote, na kama hufahamu, Baraza la Makanisa ya Kipentekoste nchini limeshatangaza maombi ya kufunga na kuomba kwa siku 40 kuanzia Januari 6, hili ni mojawapo ya jambo linalostahili kushughulikiwa.


Taarifa za nchi tano duniani ambazo ni hatari zaidi kwa wakristo kuishi ni kama ifuatavyo;
1. NORTH KOREA/KOREA KASKAZINI
Ni kosa la jinai kuwa mkristo au kushiriki katika shughuli za za Kikristo
Katika vizazi vitatu mpaka sasa mmoja kati ya wanafamilia kuna uwezekano wamefungwa kwa kosa la kumiliki Biblia.
Takribani wakristo 70,000 wapo gerezani wakitumikishwa kwa shughuli mbalimbali
2. SOMALIA
Wakristo wanahusishwa kushirikiana na upande wa mataifa ya kikoloni yenye nguvu ya Ulaya
Imependekezwa adhabu ya lifo kea mtu kuwa mkristo
Kutokana na ukosefu wa serikali makini fujo zinazoletwa na vikundi vinavyopinga ukristo vinapewa nguvu na majeshi ya nchi.
3. SYRIA
Makumi elfu wamekuwa wakihama makazi kutokana na vitisho na vurugu
Takribani 50-60,000 ya wakristo katika mji wa Homs wameondolewa
Makanisa mengi yamelipuliwa.
4. IRAQ/Iraki
Idadi ya wakristo wanaoishi kwenye mateso inazidi kuongezeka toka vita ya kwanza ya Juba mwaka 1990
Ongezeko la vitendo vya utekaji nyara, vitisho na mauaji tokea vita ya Gulf mwaka 2003.
Asilimia 25 tu ndio wakristo sawa na idadi ya mwaka 1990
5. AFGHANISTAN
Serikali imetoa vitisho vya adhabu ya kifo kwa yeyote atakayeacha Uislamu
Kuna wakristo 1,200 nchi nzima
Hakuna makanisa.

0 maoni:

Chapisha Maoni

Slider

Sample Text

Text Widget

WAKRISTO WA TANZANIA HATARINI, RIPOTI

Jumapili, 12 Januari 2014 Leave a Comment


Tanzania imeshika nafasi ya 49 kati ya nchi 50 ambazo Shirika la Open Doors la Marekani katika ripoti yake ya mwaka "2014 Watch List" imesema ndio nchi hatari zaidi duniani kwa wakristo kuishi. Katika ripoti hiyo Open doors wameiweka Tanzania katika kundi ambalo wakristo huishi kwa wasiwasi huku pia likitoa idadi ya nchi 10 ambazo ni hatari zaidi duniani kuwa Mkristo. Open doors hujishughulisha na kusaidia wakristo waliopo vifungoni wakiwa katika hatari ya kuuwawa kutokana na kutetea ama kuhubiri injili ya Yesu Kristo.
Katika orodha iliyotoa, shirika hilo limeonyesha nchi ambazo wakristo wanaishi kwa kujificha, manyanyaso, kutekwa lakini pia wakiwa katika hatari ya kuuwawa na serikali za nchi hizo ama vikundi hatari vya dini vya watu wenye msimamo mkali wa dini.


Hii ni listi ya nchi hatari zaidi duniani kwa wakristo kuishi, ambao hadi Tanzania kushika '50 bora', basi hakika hilo ni jambo la kuombea kwa nguvu zote, na kama hufahamu, Baraza la Makanisa ya Kipentekoste nchini limeshatangaza maombi ya kufunga na kuomba kwa siku 40 kuanzia Januari 6, hili ni mojawapo ya jambo linalostahili kushughulikiwa.


Taarifa za nchi tano duniani ambazo ni hatari zaidi kwa wakristo kuishi ni kama ifuatavyo;
1. NORTH KOREA/KOREA KASKAZINI
Ni kosa la jinai kuwa mkristo au kushiriki katika shughuli za za Kikristo
Katika vizazi vitatu mpaka sasa mmoja kati ya wanafamilia kuna uwezekano wamefungwa kwa kosa la kumiliki Biblia.
Takribani wakristo 70,000 wapo gerezani wakitumikishwa kwa shughuli mbalimbali
2. SOMALIA
Wakristo wanahusishwa kushirikiana na upande wa mataifa ya kikoloni yenye nguvu ya Ulaya
Imependekezwa adhabu ya lifo kea mtu kuwa mkristo
Kutokana na ukosefu wa serikali makini fujo zinazoletwa na vikundi vinavyopinga ukristo vinapewa nguvu na majeshi ya nchi.
3. SYRIA
Makumi elfu wamekuwa wakihama makazi kutokana na vitisho na vurugu
Takribani 50-60,000 ya wakristo katika mji wa Homs wameondolewa
Makanisa mengi yamelipuliwa.
4. IRAQ/Iraki
Idadi ya wakristo wanaoishi kwenye mateso inazidi kuongezeka toka vita ya kwanza ya Juba mwaka 1990
Ongezeko la vitendo vya utekaji nyara, vitisho na mauaji tokea vita ya Gulf mwaka 2003.
Asilimia 25 tu ndio wakristo sawa na idadi ya mwaka 1990
5. AFGHANISTAN
Serikali imetoa vitisho vya adhabu ya kifo kwa yeyote atakayeacha Uislamu
Kuna wakristo 1,200 nchi nzima
Hakuna makanisa.

0 maoni »

Leave your response!

Sample Text

Contact

Slider

Racing

Travel

Cute

Videos

Popular Posts

My Place

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Design by NewWpThemes | Blogger Theme by Lasantha - Premium Blogger Themes | New Blogger Themes