Jumatano, 29 Januari 2014

HARUSI YA KANA (Wedding in Cana of Galilee)*sehemu ya tatu*

Na Mtumishi Gasper Madumla.
BWANA YESU ASIFIWE...
Haleluya...,
Natumaini utaitikia “ AMEN”
Karibu tule pamoja chakula hiki cha uzima,ikiwa leo ni siku ya tatu ya fundisho hili na ikiwa ndio mara yako ya kwanza kujifunza fundisho hili,basi bado hujachelewa maana sehemu zilizopita zote zinapatikana mahali hapa hapa.
Msingi wa fundisho hili umesimama katika Yoh.2:1-11.Na siku ya leo tunaendelea pale tulipoishia,tunasoma ;

“ Basi kulikuwako huko mabalasi sita ya mawe, nayo yamewekwa huko kwa desturi ya Wayahudi ya kutawadha, kila moja lapata kadiri ya nzio mbili tatu.”Yoh.2:6

Jumatatu, 27 Januari 2014

YANGA WAMEMNUNUA WAPI EMMANUEL OKWI?


Na BARAKA MBOLEMBOLEWakati ligi kuu ikianza, mchezaji mwenye thamani kubwa zaidi, Mganda, Emmanuel Okwi amekuwa mmoja wa watazamaji mwenye thamani kubwa. Je, Yanga wameingia ' mkenge' katika usajili wake?. Hili linaweza kuwa swali ambalo majibu yake yapo wazi. Kwanza, Okwi ni mchezaji wa Etoile du Salehe ya Tunisia ambao walimnunua kutoka timu ya Simba.Kwa nini yupo Yanga?.

Jumapili, 12 Januari 2014

WAKRISTO WA TANZANIA HATARINI, RIPOTI


Tanzania imeshika nafasi ya 49 kati ya nchi 50 ambazo Shirika la Open Doors la Marekani katika ripoti yake ya mwaka "2014 Watch List" imesema ndio nchi hatari zaidi duniani kwa wakristo kuishi. Katika ripoti hiyo Open doors wameiweka Tanzania katika kundi ambalo wakristo huishi kwa wasiwasi huku pia likitoa idadi ya nchi 10 ambazo ni hatari zaidi duniani kuwa Mkristo. Open doors hujishughulisha na kusaidia wakristo waliopo vifungoni wakiwa katika hatari ya kuuwawa kutokana na kutetea ama kuhubiri injili ya Yesu Kristo.

Jumamosi, 11 Januari 2014

Miaka 50 ya Mapinduzi Z’bar yaadhimishwa kwa fikra tofauti



Rais mstaafu wa Zanzibar Aman Abeid Karume akiteta jambo na Makamu wa Rais wa kwanza Seif Sharrif Hamad. Picha na Maktaba
Na Mwinyi Sadallah, Mwananchi
Wakizungumza na gazeti hili kuhusu sherehe hizo walisema kuwa katika kipindi hicho wananchi wametambua hata kupevuka katika kudai haki zao na demokrasia, huku wakitaja changamoto mbalimbali ikiwamo uduni wa huduma za afya, elimu na udhaifu wa viongozi.
Zanzibar. Wananchi wa Zanzibar leo wanaadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya visiwa hivyo yaliyouangusha utawala wa kisultan wakiwa na fikra tofauti.

Slider

Sample Text

Text Widget

HARUSI YA KANA (Wedding in Cana of Galilee)*sehemu ya tatu*

Jumatano, 29 Januari 2014 0 maoni

Na Mtumishi Gasper Madumla.
BWANA YESU ASIFIWE...
Haleluya...,
Natumaini utaitikia “ AMEN”
Karibu tule pamoja chakula hiki cha uzima,ikiwa leo ni siku ya tatu ya fundisho hili na ikiwa ndio mara yako ya kwanza kujifunza fundisho hili,basi bado hujachelewa maana sehemu zilizopita zote zinapatikana mahali hapa hapa.
Msingi wa fundisho hili umesimama katika Yoh.2:1-11.Na siku ya leo tunaendelea pale tulipoishia,tunasoma ;

“ Basi kulikuwako huko mabalasi sita ya mawe, nayo yamewekwa huko kwa desturi ya Wayahudi ya kutawadha, kila moja lapata kadiri ya nzio mbili tatu.”Yoh.2:6 Read the full story

YANGA WAMEMNUNUA WAPI EMMANUEL OKWI?

Jumatatu, 27 Januari 2014 0 maoni


Na BARAKA MBOLEMBOLEWakati ligi kuu ikianza, mchezaji mwenye thamani kubwa zaidi, Mganda, Emmanuel Okwi amekuwa mmoja wa watazamaji mwenye thamani kubwa. Je, Yanga wameingia ' mkenge' katika usajili wake?. Hili linaweza kuwa swali ambalo majibu yake yapo wazi. Kwanza, Okwi ni mchezaji wa Etoile du Salehe ya Tunisia ambao walimnunua kutoka timu ya Simba.Kwa nini yupo Yanga?. Read the full story

WAKRISTO WA TANZANIA HATARINI, RIPOTI

Jumapili, 12 Januari 2014 0 maoni


Tanzania imeshika nafasi ya 49 kati ya nchi 50 ambazo Shirika la Open Doors la Marekani katika ripoti yake ya mwaka "2014 Watch List" imesema ndio nchi hatari zaidi duniani kwa wakristo kuishi. Katika ripoti hiyo Open doors wameiweka Tanzania katika kundi ambalo wakristo huishi kwa wasiwasi huku pia likitoa idadi ya nchi 10 ambazo ni hatari zaidi duniani kuwa Mkristo. Open doors hujishughulisha na kusaidia wakristo waliopo vifungoni wakiwa katika hatari ya kuuwawa kutokana na kutetea ama kuhubiri injili ya Yesu Kristo.
Read the full story

Miaka 50 ya Mapinduzi Z’bar yaadhimishwa kwa fikra tofauti

Jumamosi, 11 Januari 2014 0 maoni



Rais mstaafu wa Zanzibar Aman Abeid Karume akiteta jambo na Makamu wa Rais wa kwanza Seif Sharrif Hamad. Picha na Maktaba
Na Mwinyi Sadallah, Mwananchi
Wakizungumza na gazeti hili kuhusu sherehe hizo walisema kuwa katika kipindi hicho wananchi wametambua hata kupevuka katika kudai haki zao na demokrasia, huku wakitaja changamoto mbalimbali ikiwamo uduni wa huduma za afya, elimu na udhaifu wa viongozi.
Zanzibar. Wananchi wa Zanzibar leo wanaadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya visiwa hivyo yaliyouangusha utawala wa kisultan wakiwa na fikra tofauti. Read the full story

Sample Text

Contact

Slider

Racing

Travel

Cute

Videos

Popular Posts

My Place

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Design by NewWpThemes | Blogger Theme by Lasantha - Premium Blogger Themes | New Blogger Themes